Mon, 20 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya FC Barcelona wanafikiria kumuongezea mkataba mpya Kocha wao Xavi Hernandez baada ya kuonesha mabadiliko makubwa ndani ya timu hiyo tangu akabidhiwe.
Barcelona wanaamini kwamba Xavi ataendelea kuwa kocha katika kipindi chote uongozi wa Rais Joan Laporta.
Mpaka sasa Barcelona wanakamata usukani wa msimamo wa La Liga wakiwa na alama zao 59 baada ya michezo 22 alama 8 dhidi ya mahasimu wao Real Madrid.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live