Mon, 29 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya juzi Barcelona kupokea kichapo cha goli 5-3 kutoka kwa Villarreal uongozi wa timu hiyo unafikiria kuachana na Kocha wao kipenzi cha mashabiki wa Barcelona, Xavi Hernandez mwisho wa msimu.
Baada ya juzi Barcelona kupokea kichapo cha goli 5-3 kutoka kwa Villarreal uongozi wa timu hiyo unafikiria kuachana na Kocha wao kipenzi cha mashabiki wa Barcelona, Xavi Hernandez mwisho wa msimu. Tetesi zinadai kuwa mabosi hao wanafikiria kumpa mikoba Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp aliyetangaza kuachana na timu hiyo ifikapo mwisho wa msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live