Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kamati ya nidhamu ya Laliga imewapiga faini FC Barcelona kiasi Cha €700 na upande wa kocha Xavi Hernandez yeye amesimamishwa kukaa kwenye benchi la ufundi la timu hiyo katika michezo miwili
Kocha huyo ilikuwa akose mechi tatu lakini maamuzi ya kamati ya nidhamu ni kwamba atakosa mechi mbili [Las Palmas na Cardiz ]
Adhabu hii ni baada ya kushindwa kusimamia nidhamu vyema kwenye Mchezo dhidi ya Atlético de Madrid uliomalizika kwa ushindi wa mabao 3-0
Chanzo: www.tanzaniaweb.live