Sun, 17 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa Fc Barcelona Xavi Hernández ameeleza kuhusu droo ya UEFA Champions League ambayo imepangwa hivi karibuni na Chama lake litakipiga dhidi ya Paris Saint Germany (PSG).
“Tunajua kwamba PSG ndiyo inayopewa nafasi kubwa zaidi kwa sababu ya usajili mkubwa ambao walifanya.. “
“Lakini kumbuka sisi tuna historia kwa upande wetu na mataji zaidi yao ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, sisi ni Barca. Nina uhakika tunaweza kushindana”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live