Xavi Simos akiwa na Psv Eindhoven katika mechi nne zilizopita za mashindano yote
Mechi 4
Mabao 3
Pasi za mabao 3
Amehusika katika mabao 6
Akiwa na umri wa miaka 19 na siku 352, amekuwa mchezaji wa pili mdogo zaidi kuifungia Psv Eindhoven bao katika mechi nne mfululizo za nyumbani katika Eredivisie baada ya Ronaldo de Lima aliyefanya hivyo akiwa na miaka 19 na siku 9 October 1995.
Pia amehusika katika mabao 21 katika Eredivisie msimu huu, mengi zaidi ya mchezaji mwingine yeyote mwenye umri chini ya miaka 20 katika ligi 10 bora za ulaya.
Takwimu zake katika Eredivisie msimu huu hadi sasa
Mechi 28
Dakika alizocheza 2305
Mabao 14
Pasi za mabao 7
Dakika kwa kila bao 165