Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa Bayer Leverkusen,Mhispaniola Xabi Alonso msimu huu amekuwa unbeaten hadi sasa akiwa ameshinda michezo 10 kati ya 11 huku wakiwa kileleni kwa alama 22 na mtaji wa mabao 39.
mechi 11
Ushindi 10
sare 1
mabao 39
Karuhusu mabao 8 tu
Anaongoza kundi lake la Ligi ya Europa akiwa na pointi 6
Chanzo: www.tanzaniaweb.live