Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wydad Casablanca imeibuka na ushindi wa 1-0 ikiwa ugenini dhidi ya Enyimba katika dimba la Godswill Akpabio mjini Uyo Nigeria kwenye mchezo wa mwisho wa mkondo wa kwanza ya robo fainali ya African Football League.
Wydad Casablanca imeibuka na ushindi wa 1-0 ikiwa ugenini dhidi ya Enyimba katika dimba la Godswill Akpabio mjini Uyo Nigeria kwenye mchezo wa mwisho wa mkondo wa kwanza ya robo fainali ya African Football League. Goli pekee la ushindi la Wydad limefungwa na Yahya Jabrane kwa mkwaju wa penati dakika ya 39.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live