Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wydad yamshitaki Msuva FIFA

MSUVA 003?fit=700%2C457&ssl=1 Simon Msuva

Sun, 10 Apr 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya soka ya Wydad Casablanca imepeleka malalamiko yake FIFA kwenye idara ya usuluhishi juu ya mchezaji wao raia wa Tanzania Simon Msuva kukiuka vigezo na masharti vilivyopo kwenye mkataba wake. Wydad wanadai Msuva aliondoka klabuni hapo bila kutoa taarifa kwa mtu yeyote.

Klabu ya soka ya Wydad Casablanca imepeleka malalamiko yake FIFA kwenye idara ya usuluhishi juu ya mchezaji wao raia wa Tanzania Simon Msuva kukiuka vigezo na masharti vilivyopo kwenye mkataba wake. Wydad wanadai Msuva aliondoka klabuni hapo bila kutoa taarifa kwa mtu yeyote.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live