Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Wydad Casablanca kutoka Morocco imefanikiwa kutinga Fainali ya Michuano ya African Football League baada ya kuiondoa Eperance De Tunis kutoka Tunisia.
Wydad inakwenda Fainali kwa ushindi wa penati 5-4 baada ya kufungwa bao 1-0 ndani ya dakika 90 na kufanya matokeo ya jumla kuwa 1-1.
Wydad anamsubiri mshindi kati ya Al Ahly na Mameledi utakaopigwa majira ya saa tatu usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live