Tue, 6 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Wydad Casablanca ya Morocco imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Mauritania, Sidi Bouna Amar(25) kutoka klabu ya FC Nouadhibou.
Timu ya Wydad Casablanca ya Morocco imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Mauritania, Sidi Bouna Amar(25) kutoka klabu ya FC Nouadhibou. Sidi alikuwa na kiwango bora sana kwenye mashindano ya AFCON yanayoendelea nchini Ivory Coast hali iliyowavutia wakali hao wa Morocco.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live