Sun, 26 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Simba SC ikilazimishwa sare ya 1-1 nyumbani dhidi ya Asec Mimosas, vigogo wa Morocco, Wydad wakiwa nyumbani Mohamed V, Casablanca wamekubali kichapo cah 1-0 dhidi ya Wababe wa Simba SL, Jwaneng Cralaxy ya Botswana katika mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
FT: Wydad 0-1 Jwaneng ralaxy
Sesinyi - dakkka ya 33'
MSIMAMO KUNDI B
1. Jwaneng (3)
2. Asec Mimosas (1)
3. Simba SC (1)
4. Wydad AC (0)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live