Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Mamelodi Sundowns, Abubeker Nasir ameondolewa kwenye usajili wa Caf na Dstv Premiership.
Winga wa Mamelodi Sundowns, Abubeker Nasir ameondolewa kwenye usajili wa Caf na Dstv Premiership. Zipo tetesi zina sema Mamelod wana mpango wa kuachana nae baada ya majeraha yake ya mara kwa mara kuzidi kumuandama.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live