Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Willy Onana kusepa Simba

Onana Atoa Kauli Nzito Mchezo Wa Marudiano Na Al Ahly Willy Onana.

Tue, 23 Apr 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Winga wa Simba SC, Willy Esomba Onana ataondoka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huku SuperSport united wakiwa tayari wameonyesha nia ya kutaka kumsajili.

Taarifa zinasema kuwa Simba sc wanataka kiasi Cha $75k ambayo ni sawa na milioni (194,550,976.00) za kitanzania ili kumruhusu aondoke ndani ya klabu ya Simba SC.

Willy Onana yuko tayari kuondoka klabuni hapo, klabu itatoa taarifa rasmi mara tu makubaliano yatakapofikiwa na Super Sports United ya nchini Afrika Kusini.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live