Kocha wa West Ham United, David Moyes amewasilisha majina ya viungo wawili ambao anatamani wasajiliwe katika dirisha hili ambapo kuna yule wa Manchester United na Scotland, Scott McTominay na kiungo wa Everton na Ubelgiji, Amadou Onana.
Kocha wa West Ham United, David Moyes amewasilisha majina ya viungo wawili ambao anatamani wasajiliwe katika dirisha hili ambapo kuna yule wa Manchester United na Scotland, Scott McTominay na kiungo wa Everton na Ubelgiji, Amadou Onana. Mastaa hao wanasajiliwa kwa ajili ya kuboresha eneo la kiungo ambalo linaonekana kuwa litapwaya baada ya Declan Rice kuondoka.