Klabu ya West ham bado ina mpango wa kumsajili mlinzi wa Kimataifa wa England na klabu ya Manchester United Harry Maguire katika dirisha la usajili la January huku wakitumia nafasi ya Maguire kutopata nafasi ya kucheza katika kikosi cha Manchester United.
Klabu ya West ham bado ina mpango wa kumsajili mlinzi wa Kimataifa wa England na klabu ya Manchester United Harry Maguire katika dirisha la usajili la January huku wakitumia nafasi ya Maguire kutopata nafasi ya kucheza katika kikosi cha Manchester United. Katika dirisha la usajili lililopita West ham walikuwa kwenye mazungumzo mazuri lakini dili lilifeli juu ya kumsajili Maguire lakini wameongeza nguvu zaidi ili katika dirisha la usajili la January wahakikishe wanamsajili mlinzi huyo wa kimataifa wa England.