Sat, 4 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wagonga nyundo wa London, West Ham wanatarajiwa kuachana na kocha wao David Moyes mwishoni mwa msimu huu.
Wagonga nyundo wa London, West Ham wanatarajiwa kuachana na kocha wao David Moyes mwishoni mwa msimu huu. West Ham yenye maskani yake London, Wataingia sokoni kumtafuta meneja mpya kwa ajili ya msimu ujao wa 2024-25.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live