Mon, 24 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa zamani wa Klabu ya Arsenal Arsene Wenger amekataa mwaliko wa kurudi kwenye klabu hiyo kuona sanamu yake ikizinduliwa.
Meneja wa zamani wa Klabu ya Arsenal Arsene Wenger amekataa mwaliko wa kurudi kwenye klabu hiyo kuona sanamu yake ikizinduliwa. Maandalizi ya sanamu hiyo yapo kwenye hatua za mwisho. Aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Arsenal David Dein amedai kuwa Wenger bado hajakubali mwaliko.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live