Wed, 20 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa Arsenal Arsène Wenger amesema kwa namna mpira wa miguu ulivyokuwa barani Afrika anaamini sio miaka mingi tutashuhidia bingwa wa Kombe la Dunia akitoka Afrika
Kocha wa zamani wa Arsenal Arsène Wenger amesema kwa namna mpira wa miguu ulivyokuwa barani Afrika anaamini sio miaka mingi tutashuhidia bingwa wa Kombe la Dunia akitoka Afrika “Africa kuna watu zaidi ya Bilioni 1.4 hii ni hazina ya vipaji vya mpira wa miguu , binafsi ndoto yangu ni kuona mataifa ya Afrika yanakuwa shindani kwenye kombe la Dunia , na naamini hawapo mbali na taji wana kila kitu”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live