Tue, 25 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt.Pindi Chana ameshuhudia utiaji saini wa Makubaliano ya Ushirikiano kati ya Bodi ya Filamu Tanzania na Taasisi ya Mashirikiano Kimataifa (BFIC) kutoka Korea Kusini jana Aprili 24, 2023 Mtumba jijini Dodoma,
Akizungumza katika hafla hiyo Dkt Pindi Chana amesema;
"Natoa wito kwa Shirikisho la Ngumi nchini, lisimamie taratibu za mchezo huu kulinda maslahi ya Wana masumbwi pamoja na kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kushiriki mchezo huu"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live