Mon, 6 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ambaye pia ni Mbunge wa Dodoma Mjini ameonyesha chati yake na kiungo wa Yanga, Aziz KI akimpa ahadi ya Sh1 milioni endapo angefunga bao katika mechi ya dabi dhidi ya Simba.
Aziz KI alifunga bao la tatu katika ushindi wa mabao 5-1.
Mavunde pia ni Mjumbe wa Baraza la Wadhamini Yanga aliwahi pewa zawadi ya mpira wakati Aziz KI alipofunga hat-trick kwenye mechi dhidi ya Azam FC.
Tazama mawasiliano ya Mheshimiwa Mavunde na Aziz KI;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: