Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji wa klabu ya Tabora United raia wa Tanzania jana waligoma kufanya mazoezi na timu baada ya kucheleweshewa malipo ya mshahara wao wakati wachezaji wa kigeni wote walikuwa wameshapata stahiki zao.
Tabora United jana ilikuwa na mazoezi ya Asubuhi na Jioni lakini yote hayakufanyika na kulazimika wachezaji wa kigeni kufanya "Road Work" maeneo ta Ipuli, Cheyo na Kanyenye mkoani Tabora.
Hii ni hatari kwa soka letu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live