Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uwezekano wa Kiungo wa Mtibwa Sugar Ladack Chasambi (19) kujiunga na Yanga Sc ni mdogo sana na hii ni baada ya Uongozi wa klab ya Hiyo kuwa kimya kwa muda mrefu,
Pia inasemekana klab hiyo haina mpango wa kufanya ingizo lolote la Wachezaji wazawa kwa dirisha dogo hili,
Nguvu zaidi wamezielekeza kuboresha safu ya ushambuliaji wa kati ambayo tayari wameshaipata saini mshambuliaji huyo wa kigeni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live