Sat, 25 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
GWIJI wa soka wa England na Manchester United, Wayne Rooney ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Plymouth Argyle inayoshiriki Ligi ya Championship England kwa mkataba wa miaka mitatu.
GWIJI wa soka wa England na Manchester United, Wayne Rooney ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Plymouth Argyle inayoshiriki Ligi ya Championship England kwa mkataba wa miaka mitatu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live