Wed, 8 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji wa Azam wenye uraia wa Senegal Malickou Ndoye (24) na Cheick Sidibe (25) wameomba kuondoka ndani ya Klabu ya Azam FC.
Wachezaji wa Azam wenye uraia wa Senegal Malickou Ndoye (24) na Cheick Sidibe (25) wameomba kuondoka ndani ya Klabu ya Azam FC. Mikataba yao inamalizika 2025, Sidibe amepoteza nafasi kwenye kikosi cha kwanza, Ndoye amekuwa akisumbuliwa na majeraha ya nyonga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live