Tue, 25 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Simba Augustine Okrah ameachwa katika kikosi cha wachezaji wa Simba waliondoka kuelekea Morocco kwa mechi ya marudiano dhidi ya Wydad Casablanca itakayochezwa Aprili 28.
Winga wa Simba Augustine Okrah ameachwa katika kikosi cha wachezaji wa Simba waliondoka kuelekea Morocco kwa mechi ya marudiano dhidi ya Wydad Casablanca itakayochezwa Aprili 28. Wachezaji watatu wa Simba wameachwa ambao ni Aishi Manula, Mohamed Ouattara na Augustine Okrah.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live