Wed, 20 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mastaa wa tatu wa Manchester City, Erling Haaland, Kevin De Bruyne na Jeremy Doku wataukosa mchezo wa Nusu fainali ya Klabu bingwa ya Dunia dhidi ya Urawa Red Diamonds kutokana na majeruhi na wengine kutokuwa sawa kimwili.
Mastaa wa tatu wa Manchester City, Erling Haaland, Kevin De Bruyne na Jeremy Doku wataukosa mchezo wa Nusu fainali ya Klabu bingwa ya Dunia dhidi ya Urawa Red Diamonds kutokana na majeruhi na wengine kutokuwa sawa kimwili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live