Tue, 11 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya FC West Armernia inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza Nchini Armenia imekamilisha Usajili Nyota watatu kutoka Tanzania ambao ni Yusuph Athuman kutoka Yanga, Erick Mwijage kutoka Kagera na Abal Kassim kutoka Ruvu Shooting.
Klabu ya FC West Armernia inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza Nchini Armenia imekamilisha Usajili Nyota watatu kutoka Tanzania ambao ni Yusuph Athuman kutoka Yanga, Erick Mwijage kutoka Kagera na Abal Kassim kutoka Ruvu Shooting. Kila la heri kwa nyota hao wa Tanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live