Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beşiktas imewasimamisha wachezaji wake watano kwenye kikosi chao kutokana na kucheza chini ya kiwango na kutoelewana uwanjani baada ya kupoteza kwa mabao 3-1 dhidi ya Fenerbahçe siku ya Jumamosi Disemba 9
Beşiktas imewasimamisha wachezaji wake watano kwenye kikosi chao kutokana na kucheza chini ya kiwango na kutoelewana uwanjani baada ya kupoteza kwa mabao 3-1 dhidi ya Fenerbahçe siku ya Jumamosi Disemba 9 Wachezaji hao ni: Eric Bailly, Vincent Aboubakar, Valentin Rosier, Rachid Ghezzal pamoja na Jean Onana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live