Wed, 19 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Kagera Sugar imeendelea kuwapa mkono wa kwaheri nyota wake ambapo mpaka sasa, nyota watano wamepewa ‘Thank You’.
Klabu ya Kagera Sugar imeendelea kuwapa mkono wa kwaheri nyota wake ambapo mpaka sasa, nyota watano wamepewa ‘Thank You’. Muda mfupi uliopita, Jackson Kibirige ameungana na Erick Mwijage, Meshack Mwamita, Yusuph Dunia na Abeid Athumani kwenye mlango wa kutokea kwa Wanankurukumbi hao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live