Wed, 6 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Washindani wa tuzo ya Ballon d'Or leo listi yao itatoka rasmi na mshindi atatangazwa Oktoba 30 jijini Paris, Ufaransa.
Lionel Messi ndiye anayeongoza kuchukua mara nyingi tuzo hiyo kubwa duniani akitwaa mara saba na Cristiano Ronaldo mara tano.
Mwaka jana tuzo hiyo ilienda kwa Karim Benzema akiwa Real Madrid.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live