Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Pharco FC Imevunja mkataba wa winga wake wakimataifa Misri, Amr Warda.
Warda mpaka sasa ameshatumikia vilabu 6 ndani ya mwaka huu wa 2023 pekee.
Shutuma kwake: Amekuwa hajitolei kwa klabu na wakati wa mazoezi hafanyi kwa asilimia %100.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live