Fri, 19 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wapinzani wa Yanga Sc kwenye mashindano ya Mpumalanga Premier’s International Cup 2024, klabu ya Augsburg ya Ujerumani imewasili Afrika Kusini tayari kwa mchezo dhidi ya Wananchi utakaopigwa Julai 20, 2024.
Wapinzani wa Yanga Sc kwenye mashindano ya Mpumalanga Premier’s International Cup 2024, klabu ya Augsburg ya Ujerumani imewasili Afrika Kusini tayari kwa mchezo dhidi ya Wananchi utakaopigwa Julai 20, 2024. Yanga nao tayari wameshatua Afrika ya Kusini tangu Julai 19, tayari kwa maadalizi ya mchezo huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: