Wakati Yanga ikitakata jana kwenye mechi ya Ligi Kuu jijini Mwanza ikiichapa Geita Gold mabao 3-0, wapinzani wao katika kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), CR Belouizdad wamechezea kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa USM Khenchela wakiwa nyumbani katika mechi ya Ligi Kuu Algeria.
Wakati Yanga ikitakata jana kwenye mechi ya Ligi Kuu jijini Mwanza ikiichapa Geita Gold mabao 3-0, wapinzani wao katika kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), CR Belouizdad wamechezea kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa USM Khenchela wakiwa nyumbani katika mechi ya Ligi Kuu Algeria. Belouizdad imecheza mechi mbili za Ligi ikishinda moja na kupoteaa moja ipo nafasi ya 11.