Sun, 10 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rasmi sasa timu 6 za wanawake Afrika zimefuzu kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa wanawake yatakayofanyika katika uwanja wa Athlètico FC d'Abidjan nchini Cote D'Ivoire.
Timu hizo ni
1. ASFAR ya Morroco ambao ni bingwa mtetezi wa mashindano hayo
2.JKT Queens (Cecafa)
3. AS Mande (Wafu A)
4. SC Casablanca (Unaf)
5. Ampem Darkoa (Watu B)
6. Mamelod Sundown (Cosafa)
Mashindano hayo yataanza Novemba 5 - 19 mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live