Fri, 22 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imemkabidhi 'uzi' wake Rais wa Shirikisho la Soka Nchini, Wallace Karia ambao atauvaa siku ya Jumamosi kwenye mchezo dhidi ya Mamelodi Sundowns utakaopigwa Benjamin Mkapa.
Klabu ya Yanga imemkabidhi 'uzi' wake Rais wa Shirikisho la Soka Nchini, Wallace Karia ambao atauvaa siku ya Jumamosi kwenye mchezo dhidi ya Mamelodi Sundowns utakaopigwa Benjamin Mkapa. Mchezo huo utapigwa majira ya saa 3:00 usiku na kisha Yanga atasafiri kwenda kurudiana na Mamelodi Afrika Kusini Aprili 5, 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live