Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wing-back wa klabu ya Yanga , Joyce Lomalisa amepona majeraha madogo aliyoyapata kwenye Mchezo wa ligi ya mabingwa Africa dhidi ya Al-Ahly wiki moja iliyopita.
Lomalisa tayari ameanza mazoezi na kikosi cha Yanga na bila shaka atakuwa fiti kuivaa Medeama.
Mtazame Lomalisa mazoezini hapa Chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: