Klabu ya Yanga SC, chini ya Rais wake Eng Hersi Said (@caamil_88 ) leo hii imeingia kandarasi na Hospital ya Aga Khan, ambapo itawafanya wachezaji wa Yanga kupima afya zao, lakini pia wanachama na mashabiki wa Yanga SC kuweza kupata huduma nchi nzima kwenye Hospital za Aga Khan.
Klabu ya Yanga SC, chini ya Rais wake Eng Hersi Said (@caamil_88 ) leo hii imeingia kandarasi na Hospital ya Aga Khan, ambapo itawafanya wachezaji wa Yanga kupima afya zao, lakini pia wanachama na mashabiki wa Yanga SC kuweza kupata huduma nchi nzima kwenye Hospital za Aga Khan. Wanachana wenye kadi ya uanachama wa Yanga SC anaweza kuhudumiwa kwa punguzo la bei na mkataba wa Yanga SC na Hospital ya Aga Khan ni wa miaka miwili.