Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa Kulia wa Manchester United Aaron Wan-Bissaka anapokea uwito wa kuiwakilisha DR Congo kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Mpaka sasa Aaron Wan-Bissaka hajaamua chochote na ikiwa atakubali basi Manchester United watakosa huduma ya mlinzi huyu mapema januari 13 - Feb 11.
Ungekuwa Wewe Aaron Wan-Bissaka ungefanyaje ukiangalia nondo za Uingereza kulia Kuna Reece James (23), Kyle Walker (33), Trent Arnold (25), Kieran Trippier (33), Rico Lewis (19)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live