Usiku wa Agosti Mosi, mwaka huu zimefanyika tuzo za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) katika Ukumbi wa Super Dome jijini Dar es Salaam huku Yanga waking’ara katika tuzo hizo.
TUZO ZA TFF KWA 2024
1: Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC (MVP) = Stephane KI Aziz kutoka Young Africans
2: Mchezaji Bora wa kiume anayecheza nje ya Tanzania = Mbwana Samatta kutoka PAOK
3: Mchezaji Bora wa kike anayecheza nje ya Tanzania = Aisha Masaka kutoka Brighton
4: Goli Bora = Kipre Junior kutoka Azam kwa sasa yupo MC Alger ya Algeria
5: Kiungo Bora wa Ligi Kuu ya NBC = Stephane KI Aziz kutoka Young Africans
6: Beki Bora wa Ligi Kuu ya NBC = Ibrahim Bacca kutoka Young Africans
7: Golikipa Bora wa Ligi Kuu ya NBC = Ley Matampi kutoka Coastal Union
8: Golikipa Bora - CRDB BANK FÉDÉRATION CUP = Djigui Diarra kutoka Young Africans
9: Mchezaji Bora Chipukizi wa Ligi Kuu ya NBC = Raheem Shomari kutoka KMC
10: Mfungaji bora wa Kombe la Shirikisho la CRDB Bank = Clement Mzize
11: Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC = Stephane KI Aziz kutoka Young Africans
12: Kocha Bora wa Ligi ya Wanawake = Juma Mgunda kutoka Simba Queens
13: Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC = Miguel Gamondi kutoka Young Africans
14: MVP wa Kombe la Shirikisho la CRDB Bank = Feisal Salum kutoka Azam
15: Mchezaji bora ligi kuu ya wanawake TWPL (MVP) = Aisha Mnunka kutoka Simba Queens.
Mchezaji Bora Chipukizi Kike: Ester Maseke
Kamishina Bora: Hamis Kitilla
Mchezaji Bora wa kike : Amina Bilal
Mfungaji bora WPL: Aisha Mnuka
Mchezaji bora U-20: Bruno Natal
Mwamuzi Bora: Ahmed Arajiga
Mwamuzi Bora Wanawake: Amina Kyando
Kipa Bora WPL: Caroline Rufo
Mchezaji bora NBC Championship: Edgar William
Mchezaji bora Soka Ufukweni: Jaruph Juma
Tuzo ya Heshima: Leodgar Tenga
Tuzo ya Rais wa TFF: Said El Maary
Tuzo ya Heshima Wanawake: Juma Bomba
KIKOSI BORA LIGI YA WANAWAKE
1 . Caroline Rufo
2. Ruth Ngosi
3. Anastazia Katunzi
4. Vaileth
5. Fatma Issa
6. Kaeda Wilson
7. Vivian Corazone
8. Riticia
9. Jentrix Shikangwa
10. Aisha Mnuka
11. Stumai Abdallah
KIKOSI BORA CHA LIGI KUU BARA
Ley Matampi
Khouassi Yao
Mohamed Hussein
Ibrahim Bacca
Dickson Job
Mudathir Yahya
Maxi Nzengeli
Feisal Salum
Waziri Junior
Stephanie Aziz Ki
Kipre Junior
#TFFAWARDS2024