Tue, 15 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kampuni ya Budweiser ambao ni Wadhamini wa Kombe la Dunia 2022, wametakiwa kuhamisha Maduka yao ya Pombe ambayo wameshayaweka nje ya kila Viwanja vyote vitakavyotumika kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia.
Kampuni ya Budweiser ambao ni Wadhamini wa Kombe la Dunia 2022, wametakiwa kuhamisha Maduka yao ya Pombe ambayo wameshayaweka nje ya kila Viwanja vyote vitakavyotumika kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia. Qatar imeitaka Kampuni hiyo kuhakikisha kuwa maduka hayo hayaonekani wazi sana maana Pombe sio kitu muhimu haswa kwenye mashindano hayo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live