Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wajumbe wa chama cha soka Wilaya ya Temeke (TEFA) wamekataa matokeo pamoja na Mwenyekiti mpya aliyetangazwa hii leo kwenye uchaguzi kwa kile wanachodai ,hawautambui uchaguzi huo .
Idadi ya Wanachama ni 120
Waliopiga kura 12
Kura zilizoharibika 0
Kura halali 12.
89 hawajapiga kabisa
Ally Kamtande kashinda Kwa kura 12.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live