Kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2023) ambayo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 2024, hapa tumekuwekea wafungaji bora wa muda wote wa michuano hiyo.
1. Samuel Eto'o (Kamerun | mabao 18)
2. Laurent Pokou (Ivory Coast| mabao 14)
3. Rasheed Yekini (Nigeria| mabao 13)
4. Hassan El-Shazly (Misri| mabao 12)
5. Didier Drogba (Ivory Coast| mabao 11)
6. Hossam Hassan (Misri| mabao 11)
7. Patrick Mboma (Cameroon| mabao 11)
8. Kalusha Bwalya (Zambia| mabao 10)
9. Santos (Tunisia| mabao 10)
10. Joel Tiehi (Ivory Coast| mabao 10)
11. Andre Ayew (Ghana | mabao 10)
12. Ndaye Mulamba (Zaire | mabao 10)
Kumbuka kuwa wachezaji walio karibu zaidi na rekodi ya Samuel Eto'o ni Andre Ayew (mabao 10) na Vincent Aboubakar (mabao 9).