Fri, 3 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jarida la Betcentral la Afrika kusini limeandika juu ya wachezaji ambao wanalipwa mkwanja mrefu zaidi ndani ya timu hiyo.
1.Bongani Zungu – Rand 700K sawa na Tsh Milioni 94
2.Ronwen Williams – R500K Sawa na Tsh Milioni 67
3.Denis Onyango – R450K Sawa na Tsh Milioni 61
4.Kennedy Mweene – R430K sawa na Tsh Milioni 58
5.Marcello Allende – R420K sawa na Tsh Milioni 56
6.Thapelo Morena – R400K Sawa na Tsh Milioni 54
7.Gaston Sirino – R400K Sawa na Tsh Milioni 54
8.Peter Shalulile – R400K Sawa na Tsh Milioni 54.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live