Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mechi kati ya Belgium na Sweden umehairishwa baada ya wachezaji kugoma kurudi uwanjani kipindi cha pili kwa kile kilichotokea kabla ya mchezo huo kuanza ambapo inaelezwa kuna mashabiki wawili wa Sweden wameuwawa kwa kupigwa risasi
Mechi kati ya Belgium na Sweden umehairishwa baada ya wachezaji kugoma kurudi uwanjani kipindi cha pili kwa kile kilichotokea kabla ya mchezo huo kuanza ambapo inaelezwa kuna mashabiki wawili wa Sweden wameuwawa kwa kupigwa risasi Mamlaka ya soka ilitakiwa kuufuta mchezo lakini haikuufuta mchezo hivyo wachezaji wakaamua kugoma kurudi Uwanjani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live