Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi wa zamani wa soka nchini England Howard Webb ametafuta wachezaji wa zamani 12 ambao watasomea uamuzi ili wawe waamuzi wa Ligi kuu soka England.
Webb anaamini wachezaji waliostaafu wataongeza hali ya kujiamini katika maamuzi kwa waamuzi wengine waliopo sasa.
Unadhani wachezaji wa zamani kuwafanya kuwa waamuzi kutapunguza makosa ?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live