Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji wawili Eric Johanna na Aboud Omar wa Timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars) Wameondolewa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa baada ya kupigana ndani ya hotel ambayo timu ya taifa ya Kenya imefikia kwa ajili ya maandalizi ya Mchezo dhidi ya Malawi.
Wachezaji wawili Eric Johanna na Aboud Omar wa Timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars) Wameondolewa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa baada ya kupigana ndani ya hotel ambayo timu ya taifa ya Kenya imefikia kwa ajili ya maandalizi ya Mchezo dhidi ya Malawi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live