Tue, 1 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Majuma mawili yaliyopita Yanga walitangaza kunasa saini ya MVP wa Ligi Kuu ya nchini Ivory Coast Pacôme Zouzoua kutokea ASEC Mimosas ya nchini Ivory Coast.
Sasa Tangu kuwasili kwa Staa huyo mpya katika kikosi cha Yanga, kumekuwa na mkanganyiko mkubwa wa namna ya kutamka jina la pili la Staa huyo.
Sio kwa Mashabiki wala wachezaji wenzake walio nae katika Kambi ya Yanga iliyopo Avic Town Kigamboni.
Sasa Tazama video hii hapa chini uone wachezaji wa Yanga wanavyopata tabu kutamka jina la pili la nyota huyo
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: