Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji saba wa timu ya Wanawake ya Mpira wa Miguu Rambura WFC, wako kwenye hali mbaya baada ya kupigwa na radi walipokua wakicheza kwenye uwanja wa Gicumbi.
Wachezaji saba wa timu ya Wanawake ya Mpira wa Miguu Rambura WFC, wako kwenye hali mbaya baada ya kupigwa na radi walipokua wakicheza kwenye uwanja wa Gicumbi. Majeruhi wamekimbizwa katika Zahanati ya Gicumbi kwa ajili ya matibabu zaidi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live