Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri wa Michezo Nchini Kenya, Ababu Namwamba ameahidi timu ya Taifa ya Kenya, Harambee Stars kiasi cha KES 2.5 milioni (Tsh MILIONI 40.9 za kibongo) kwa kila alama 3 watakazo zipata katika kila mechi wakati wa michezo ya kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA 2026,
Ratiba ya timu ya taifa ya Kenya kwa kundi lake F ni:
Vs Gabon
Vs Shelisheli
Vs Ivory Coast
Vs Gambia
Vs Burundi
Chanzo: www.tanzaniaweb.live