Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Forward wa Aston Villa Leon Bailey ameuponda uongozi wa timu ya taifa ya Jamaica akisema timu hiyo imejaa ubabaishaji.
“Unafika kambini hakuna jezi au ikiwepo ndio hiyo hiyo Moja,kuna wakati unapewa jezi ya timu ya wanawake,
“Hatujawahi kulipwa posho na kambini mtu yoyote abaruhusiwa kuingia wala hakuna heshima ya kambi”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live